Karibu kwenye Tovuti Rasmi ya Ofisi ya Mbunge wa Jimbo la Kalambo
Tunakukaribisha kutembelea tovuti hii ili kujionea na malengo mbalimbali ya maendeleo iliyotekelezwa na Edefonsi Joackim Kanoni , Mbunge wa Jimbo la Kalambo, tangu kuingia madarakani 2025.
Kupitia tovuti hii utapata taarifa za utekelezaji wa miradi katika sekta ya elimu, afya, maji, mchango, nishati pamoja na maendeleo ya kijamii yaliyolenga kuboresha maisha ya wananchi wa Jimbo la Kalambo.
Tunakualika habari, picha, video na taarifa mbalimbali za maendeleo ili kuona hatua zilizofikiwa katika kujenga Kalambo yenye maendeleo, ustawi na fursa kwa wote.
"Maendeleo ya Kalambo ni wajibu wetu sote."
Ujenzi wa Soko la Wilaya limekamilika kwa asilimia 70 mpaka sasa limeshafunguliwa na linatumika




