📰 HABARI MPYA
Inapakia habari...

Tangaza Nasi

TANGAZA NASI

Fikisha biashara, bidhaa, huduma, taasisi au tukio lako kwa wasomaji wa MBUNGEKALAMBO.COM.

Tunatoa nafasi mbalimbali za matangazo kwa biashara na taasisi zinazotaka kuongeza mwonekano wao mtandaoni.

WASILIANA NASI TUMA OMBI WHATSAPP

Kwa Nini Utangaze Nasi?

Tumia uwepo wa MBUNGEKALAMBO.COM kuongeza mwonekano wa biashara, bidhaa au huduma yako mtandaoni.

📢

Ongeza Mwonekano

Wasilisha biashara, bidhaa au huduma yako mbele ya watu wanaotembelea tovuti.

🌍

Fikia Wasomaji

Tangazo lako linaweza kuonekana na wasomaji kutoka Kalambo, Rukwa, Tanzania na maeneo mengine.

📱

Mobile Friendly

Tovuti inapatikana kupitia simu, tablet na computer, hivyo tangazo lako linaweza kufikiwa kwenye vifaa mbalimbali.

Nafasi za Matangazo

Chagua nafasi inayofaa kwa biashara au taasisi yako.

TOP BANNER
NAFASI YA TANGAZO JUU

Top Banner

Nafasi kubwa inayofaa kwa kampeni zinazohitaji mwonekano mkubwa.

OMBA NAFASI
IN-ARTICLE BANNER
NAFASI NDANI YA HABARI

In-Article Banner

Tangazo linalowekwa kwenye nafasi maalum ndani ya kurasa za habari.

OMBA NAFASI
SIDEBAR BANNER
NAFASI YA SIDEBAR

Sidebar Banner

Nafasi inayofaa kwa biashara inayotaka tangazo lionekane kwenye sehemu ya pembeni ya tovuti.

OMBA NAFASI

Vifurushi vya Matangazo

Chagua kifurushi kinachokidhi mahitaji ya biashara yako. Bei zinaweza kubadilishwa kulingana na nafasi na muda wa tangazo.

STARTER

Starter Package

Kwa biashara ndogo au huduma inayotaka kuanza kutangaza mtandaoni.

  • Nafasi ya banner
  • Muda kulingana na makubaliano
  • Kiungo cha mawasiliano
PATA MAELEZO
PREMIUM

Premium Package

Kwa kampuni, taasisi au kampeni inayohitaji mpango mpana wa matangazo.

  • Nafasi maalum ya banner
  • Muda kulingana na makubaliano
  • Sponsored Article inapokubaliwa
  • Social media promotion inapokubaliwa
PATA MAELEZO

Sponsored Article

Unaweza kutangaza biashara, bidhaa, huduma, taasisi au tukio lako kupitia makala maalum kwenye MBUNGEKALAMBO.COM.

  • Kichwa cha makala
  • Maelezo ya biashara au huduma
  • Picha
  • Logo
  • Mawasiliano
  • Link ya website au WhatsApp
  • Call-to-action

Wasiliana nasi kwa bei, masharti na upatikanaji wa Sponsored Article.

OMBA SPONSORED ARTICLE

Jinsi ya Kutangaza Nasi

Chagua Nafasi

Chagua aina ya tangazo au kifurushi kinachokufaa.

Wasiliana Nasi

Tuma ujumbe kupitia WhatsApp, simu au email.

Tuma Banner au Maelezo

Tuma picha, banner, logo na maelezo ya tangazo lako.

Tangazo Linawekwa

Baada ya makubaliano kuhusu nafasi, muda na malipo, tangazo linawekwa kwenye nafasi iliyokubaliwa.

Wasiliana Nasi

Una swali au unahitaji nafasi ya kutangaza? Wasiliana nasi moja kwa moja.

WhatsApp

0625 850 656

WHATSAPP SASA

Simu

0625 850 656

PIGA SIMU

Maswali Yanayoulizwa Mara kwa Mara

Nani anaweza kutangaza?

Wafanyabiashara, kampuni, taasisi, mashirika na watoa huduma wanaokidhi masharti ya matangazo wanaweza kuwasiliana nasi.

Naweza kutumia banner yangu mwenyewe?

Ndiyo. Unaweza kutuma banner, picha, logo na maelezo ya tangazo kupitia WhatsApp au Email.

Tangazo linaweza kukaa kwa muda gani?

Muda wa tangazo hutegemea nafasi na makubaliano kati ya mtangazaji na MBUNGEKALAMBO.COM.

Mna Sponsored Article?

Ndiyo. Wasiliana nasi kwa maelezo kuhusu Sponsored Article, bei na masharti.

TAYARI KUTANGAZA BIASHARA YAKO?

Wasiliana nasi leo ili kupata nafasi ya tangazo kwenye MBUNGEKALAMBO.COM.

WHATSAPP SASA

Nafasi za matangazo hutegemea upatikanaji. Masharti, bei na muda wa matangazo hujadiliwa kabla ya tangazo kuwekwa.

MATUKIO KWA NJIA YA PICHA

Inapakia picha...

HABARI MAARUFU

TANGAZO LA MIKOPO KWA VIJANA AWAMU YA PILI

  Katika kutekeleza ahadi ya Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ya kutoa shilingi bilioni 200 kwa vijana ndani ya siku 100 baada ya kuingia madarakani, Wizara ya Mifugo na Uvuvi inautangazia umma kuanza kwa Awamu ya Pili ya utoaji wa mikopo yenye masharti nafuu kwa vijana. Malengo ya mikopo hiyo ni kuwawezesha vijana kupata mitaji ya kuanzisha na kuendeleza biashara ndogo, biashara za kati na kampuni changa ili kujijengea kipato katika Sekta za Mifugo na Uvuvi. Mikopo hiyo itatolewa kwa njia ya vifaa na pembejeo za uzalishaji, ikiwemo ufugaji wa samaki kwa vizimba, ufugaji wa kuku (chotara, mayai na nyama), mbuzi, kondoo na nguruwe, pamoja na boti za kuhudumia vizimba, boti za uvuvi, zana za uvuvi, mifumo ya ubari (cold chain) katika mazao ya uvuvi, mifumo ya kulazisha vifaranga vya samaki, mifumo na vifaa vya uchakataji wa mazao ya uvuvi ikijumuisha makausho ya dagaa na mwani (dryers). Vigezo na maelekezo kwa waombaji ni kama ifuatavyo: i. Baru...

MHE. MBUNGE KANONI ASHIRIKI MAZISHI YA WAATHIRIKA WA AJALI KAZILA, ATOA WITO WA UPENDO, UMOJA NA MSHIKAMANO

  KALAMBO: Mbunge wa Jimbo la Kalambo, Mhe. Edefonsi Joackim Kanoni , ameshiriki mazishi ya wananchi wawili waliofariki dunia katika ajali ya gari iliyotokea katika Kijiji cha Kazila, Kata ya Mwazye, Wilaya ya Kalambo, huku akitoa pole na faraja kwa familia, ndugu, jamaa, marafiki pamoja na wananchi wote walioguswa na msiba huo. Ajali hiyo ilitokea tarehe 05 Agosti 2026 , wakati gari aina ya Fuso lililokuwa limebeba watu waliokuwa wakielekea kwenye shughuli ya harusi kutoka Kijiji cha Msoma, Kata ya Mwazye, Wilaya ya Kalambo , lilipofika katika Kijiji cha Kazila kwa ajili ya shughuli ya kufunga ndoa. Kwa mujibu wa taarifa zilizotolewa, gari hilo lilikuwa limembeba bwana harusi, Hosea Gilbert Watua , pamoja na watu wengine waliokuwa wakisafiri naye kutoka Kijiji cha Msoma kuelekea Kijiji cha Kazila, ambako alikuwa akienda kufunga ndoa na bibi harusi, Mehili Sauli Visent , mkazi wa Kijiji cha Kazila, Kata ya Mwazye. AJALI YATOKEA KABLA YA KUFIKA KWENYE DARAJA Taarifa zinaeleza ...